![]() |
| Erasmus Mtatuba na mkwanja wake ndani ya box la shindano la Airtel Mkwanjiaka. |
![]() |
| Tukio lilikuwa linavutia na muda baada ya muda watu hao..... |
![]() |
| Ni mwendo wa mahesabu..... |
![]() |
| Wadau eneo la tukio. |
![]() |
| Kila mmoja anatamani kushiriki mchezo huu. |
![]() |
| Mmoja wa washiriki wa Airtel Mkwanjika Erasmus Mtatuba akihojiwa na Jembe Fm live na kusikika katika kipindi cha Drive Mix na hapa alikuwa na mwanadada Natty E. |
![]() |
| Wadau nao wanatamani kushiriki Airtel Mkwanjiaka. |
![]() |
| Mahesabu yakifanyika. |
![]() |
| "Ayaa mimi waombee nisiingiemo, ntazisombaje? wananchi walisikia wakisemezana. |
![]() |
| Eunice Thomas mkazi wa Buzuruga mjasiliamali kutinga ndani ya Box la upepo na Kukwanjika na Airtel akihesabu mkwanja wake alifanikiwa kudaka kiasi cha shilingi laki saba na sitini elfu. |
![]() |
| Ni zamu ya Filbert Nyomi toka Kagera kukwanjika. |
![]() |
| Wadau wakifurahia umahiri wa Filbert katika kudaka mkwanja wa Airtel Mkwanjika. |
![]() |
| Filbert Nyimi ambaye ni mfanyabiashara toka mkoani Kagera alifanikiwa kudaka shilingi laki nane na hamsini. |
![]() |
| Safiiii. |
![]() |
| Eh bana eh. |
![]() |
| Nyingine zilijinasa zenyewe kwenye harakati.... |
![]() |
| Ikawa zamu ya Eugine Tryeson ambaye ni mkulima toka mkoa wa Kigoma ambapo alifanikiwa kudaka mkwanja wa shilingi laki sita na arobaini. |
![]() |
| Mc lulu wa Sahara Media akifurahia jambo mara baada ya kumaliza kazi jukumu la siku ya kwanza kwa wakazi wa Kanda ya ziwa kukwanjika na Airtel...Zoezi bado linaendelea. |
Tupe maoni yako






















0 comments:
Post a Comment