Afisa uhusiano na matukio wa Airtel Dangio Kaniki, akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na Gulio la Airtel na Huawei Smartphone lililofanyika Mlimani City wikiendi hii. Gulio linalomuwezesha mteja kujishindia zawadi mbali mbali pale anaponunua simu ya Huawei.Gulio hili lilianza Ijumaa, Jumamosi na Jumapili na litaendelea wiki ijayo siku ya Ijumaa, Jumamosi na Jumapili pale Kibo Complex Tegeta.
Baadhi ya Wateja waliofika katika Gulio la Airtel na Huawei Smartphone wakipewa maelezo kuhusiana na OFA kababe inayotolewa na Kampuni ya simu ya Airtel na Huawei katika banda la Mlimani City jijini Dar Es Salaam .Gulio linalomuwezesha mteja kujishindia zawadi mbali mbali pale anaponunua simu ya Huawei.
Baadhi ya Wateja waliofika katika Gulio la Airtel na Huawei Smartphone wakipewa maelezo kuhusiana na OFA kababe inayotolewa na Kampuni ya simu ya Airtel na Huawei katika banda la Mlimani City jijini Dar Es Salaam .Gulio linalomuwezesha mteja kujishindia zawadi mbali mbali pale anaponunua simu ya Huawei.
Mmoja wa Wateja wa Airtel waliofika katika Gulio la Airtel na Huawei Smartphone Bw. Stephen Temu akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na OFA kababe iliyotolewa na Airtel mwishoni mwa wiki hii pale Mlimani City.
Mmoja wa Wateja wa Airtel waliofika katika Gulio la Airtel na Huawei Smartphone Bi. Irene Joseph akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na OFA kababe iliyotolewa na Airtel mwishoni mwa wiki hii pale Mlimani City. Gulio linalomuwezesha mteja kujishindia zawadi mbali mbali pale anaponunua simu ya Huawei.Gulio hili lilianza Ijumaa, Jumamosi na Jumapili na litakaloendelea wiki ijayo siku ya Ijumaa, Jumamosi na Jumapili pale Kibo Complex Tegeta.
Meneja masoko wa Huawei, Bi Lydia Wangari (kushoto) na Afisa Uhusiano wa Airtel Dangio Kaniki wakionyesha baadhi ya simu zinazouzwa katika Gulio la Airtel na Huawei Smartphone. Gulio hilo lililofanyika mwishoni mwa wiki hii pale Mlimani City na kuwawezesha Wateja kupata ofa mbalimbali pale unaponunua simu hizo.
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
Rais Museveni atangazwa mshindi wa uchaguzi Uganda
-
Tume ya uchaguzi nchini Uganda imemtangaza Rais Yoweri Kaguta Museveni kama
mshindi wa uchaguzi uliofanyika Alhamisi wiki hii, akiwa na jumla ya kura
7,946...
0 comments:
Post a Comment