ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, March 9, 2015

RAIS KIKWETE AONGOZA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI 2015 MOROGORO

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa kwa furaha alipowasili uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro Jumapili Machi 8, 2015 kuongoza kilele cha sherehe za Siku ya Wanawake Duniani  iliyoadhimishwa kitaifa mjini humo
 Rais Kikwete akisalimiana na Mbunge wa jimbo la Morogoro mjini Mohamed Aziz Abood 
 Rais Kikwete akisalimiana na viongozi wa dini mkoa wa Morogoro
 Rais Kikwete akisalimiana na Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Bw. Alvaro Rodriguez
 Sehemu ya umati uliofurika uwanjani hapo
 Rais Kikwete akiwa meza kuu. Wengine kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Morogoro na Mbunge wa Jimbo la Morogoro kusini Mh Innocent Kalogeris, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dk Rajab Rutengwe, Waziri Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto Mhe. Sophia Simba na Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Bw. Alvaro Rodriguez
 Bendi ya Jeshi la Polisi likiongoza maandamano makubwa ya wanawake yakiingia uwanjani
 Rais Kikwete na Meza kuu ikipokea maandamano hayo
 Maandamano
 Kinamama wakisherehekea siku yao
 Rais Kikwete akipungia maandamano
 TTCL wamependeza na miavuli yao
 Benki ya posta







 Kina baba hawakuwa nyuma





 Msanii Starah Thomas akiimba wimbo maalum akisaidiwa na wanafunzi
 Msanii Peter Msechu akiimba na kucheza na wanafunzi
 Mtoto Miriam Edward akitumbuiza
 Mwanadada hodari  Hazala 'The Ball Juggler' Mohammed akipiga danadana
 Vijana wa Sifa Theatre Troupe wakitumbuiza
 Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dk Rajab Rutengwe akisoma utangulizi wa sherehe hizo
 Mwakilishi wa kinamama wajasiriamali wa Morogoro Bi. Emmy Kiula akisoma Risala yao
 Rais Kikwete akipokea risala toka kwa Mwakilishi wa kinamama wajasiriamali wa Morogoro Bi. Emmy Kiula
 Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Bw. Alvaro Rodriguez akihutubia kwa Kiswahili fasaha
 Mwakilishi Mkazi wa Umoja wa Ulaya (EU) Balozi Filiberto Ceriani Sebregondi pia akihutubia hadhara hiyo kwa Kiswahili fasaha
 Umati wa wakaazi waMorogoro na vitongoji vyake.
 Mabalozi na viongozi wa taasisi mbalimbali zinasohudumia wanawake
 Umati


 Viongozi wa vyama vya siasa wakitambulishwa
 Waziri Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto Mhe. Sophia Simba akimkabidhi Rais Kikwete tuzo maalum ya Wanawake kwa mchango wake mkubwa wa kujali maslahi yao
 Rais Kikwete akimkabidhi tuzo Celina Ompeshi Kombani  mbunge wa jimbo la Ulanga Mashariki
 Rais Kikwete akimtuza Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe Muhingo Rweyemamu kwa kazi kubwa aliyoifanya kuendeleza elimu ya wasichana alipokuwa Mkuu wa Wilaya ya Handeni
 Mwakilishi wa TAMWA akipokea tuzo kwa kazi nzuri inayofanywa na taasisi

 Tuzo kwa kazi nzuri
 Tuzo kwa masista wanaosaidia kupiga vita ukeketaji 
 Rais Kikwete akihutubia
 Rais Kikwete akiagana na viongozi wa dini



Rais Kikwete akiongea na mtoto Reuben Boniface mwenye umri wa miaka 9 na manafunzi wa darasa la nne shule ye Elu Children Care
 Rais Kikwete katika banda la WOGE
 Rais Kikwete akikagua banda la Halmashauri ya Mkoa wa Morogoro

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.