![]() |
Serengeti Fiesta 2012 imefika hadi kwa akina mama hawa wanaoziboresha barabara zetu jijini Mwanza kwa Usafi hapa ilibidi wachukuwe flash na mchuma wetu. |
![]() |
Mbwiga akitiririka na wana hapa ni pande za Tanganyika bus stand. |
![]() |
Dj fetty na wadau Tanganyika bus stand. |
![]() |
Mafundi wa Clouds fm na Tv Meboo na Daudi kazini. |
![]() |
Tanganyika bus stand. |
![]() |
Umia ujae.... |
![]() |
Mchuma sehemu ya parking na Mornach Hotel ambao ni moja kati ya wadhamini wetu. |
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.