KATIKA KUSHEREHEKEA SIKUKUU YA WAPENDANAO DUNIANI FEB 14 "VALENTINE" HIVI NDIVYO CLUB YAKO MAARUFU STONE CLUB MWANZA ILIVYOJIPANGA KUKUBURUDISHA WEWE NA UMPENDAYE PAMOJA NA RAFIKI ZAKO.
# Tatua Utata katika bango hili -mpangilio wa graphics sawa. JE! rangi zilizotumika?
kaka! mi naona mwaka huu valentaini wa2 wanatakiwa wavae ngou za rangi ya buluu na sio nyekundu, maana dizaina wa hilo tangazo kaja na wazo hilo. sisi tulizoea rangi ya valentaini ni nyekundu. ama kweli hii ndo twenti teni (2010).
GEORGE MASAJU ATEULIWA JAJI MKUU
-
*Na Happiness Katabazi.*
*RAIS Samia Suluhu Hassan Leo amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani George
Mcheche Masaju Kuwa Jaji Mkuu wa Tanzania.*
*Kwa Mujibu ...
TAZAMA USIKU WA BI FELISIA KYAMANI ULIVYO FANA
-
Wanafamilia na Waalikwa wakicheza kwaifuraha na shangwe kwenye siku hii
muhimu ya SendOff ya Bi Felias Kyamani .
Watu walivaa na kupendeza Ukumbi ulipambw...
kaka! mi naona mwaka huu valentaini wa2 wanatakiwa wavae ngou za rangi ya buluu na sio nyekundu, maana dizaina wa hilo tangazo kaja na wazo hilo. sisi tulizoea rangi ya valentaini ni nyekundu. ama kweli hii ndo twenti teni (2010).
ReplyDelete