NA VICTOR MASANGU/PWANI Mwenyekiti wa umoja wa wanawake Taifa (UWT) Mary Chatanda amewataka watanzania kushikamana na kutobabaishwa na maneno ya upotoshaji yanayo zungumzwa na baadhi ya watu juu ya mambo mazuri ambayo yametekelezwa na Rais wa awamu ya sita Dkt.Samia Suluhu Hassan katika nyanja mbali mbali. Chatanda ameyasema hayo wakati wa uzinduzi rasmi wa Kampeni za Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Mkuranga Mkoani Pwani ambao umefanyika katika viwanja vya Mwandege.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment