ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, July 29, 2025

YAFUATAYO NDIYO MAJINA YA WAGOMBEA WOTE WALIOPITISHWA.

 

Chama cha Mapinduzi (CCM) kupitia Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla, kimetangaza rasmi majina ya wagombea watakaoshiriki Uchaguzi Mkuu wa 2025 kwa nafasi za Ubunge wa Majimbo, Viti Maalum na Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi, baada ya kukamilika kwa mchakato wa kuchuja na kupitisha majina uliochukua muda mrefu.

YAFUATAYO NDIYO MAJINA YA WAGOMBEA WOTE WALIOPITISHWA.













































































Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment