ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, March 25, 2025

UWASHWAJI WA MWENGE WA UHURU KITAIFA PWANI MAMBO KUCHELE MAANDALIZI TAFIKIA ASILIMIA 96

 NA VICTOR MASANGU/PWANI 

Serikali Mkoani Pwani imesema kwamba maandalizi kwa ajili ya tukio kubwa la sherehe za uwashwaji wa Mwenge wa uhuru kitaifa yanakwenda vizuri na kwamba yamefikia kiwango cha asilimia 96 na kwamba unatarajiwa kuwashwa  rasmi April 2 mwaka huu katika viwanja  vya shirika la Elimu Kibaha.  
 

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.