ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, April 3, 2024

ANGEL BENARD AOLEWA TENA.

 


Baada ya ndoa yake ya mwanzo kupasukiana, Msanii wa injili Angel Benard aolewa tena na mwanaume mwingine anayeishi nchini Marekani

Angel Benard aliyefahamika kwa nyimbo kadhaa ikiwemo Siteketei, watu walidhani ndoa yake ya mwanzo yeye na mumewe walikuwa na furaha sana kwa jinsi walivyokuwa wakiwaona ikiwemo mitandaoni, hivyo minong'ono imeibuka kuguata kuolewa tena nchini Marekani
Huku taarifa zikidai kuwa miezi mingi iliyopita Angel alikimbilia mahakamani kutaka talaka yake toka kwa mumewe wa mwanzo ili awe huru kuendelea na maisha yake mengine na alipopata talaka yake rasmi hakusubiri ameolewa tena na mwanaume anayeishi Marekani.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.