Tukio limehusisha milipuko katika Magari mawili kwenye Jimbo la Hiraan huku Kundi la Al-Shabaab likidaiwa kuhusika
Milipuko hiyo iliambatana na milipuko mingine katika eneo la Soko ambapo Watu wengi wamejeruhiwa
Al-Shabaab wamekuwa wakitajwa kuhusika katika matukio mengi ya aina hiyo hivi karibuni baada ya Rais wa #Somalia, Hassan Sheikh Mohamud, kutangaza vita dhidi ya kikundi hicho
Tupe maoni yako


0 comments:
Post a Comment