ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, January 5, 2023

SOMALIA: WATU 26 WAKIWEMO 9 WA FAMILIA MOJA WAUAWA KWA BOMU


Tukio limehusisha milipuko katika Magari mawili kwenye Jimbo la Hiraan huku Kundi la Al-Shabaab likidaiwa kuhusika


Milipuko hiyo iliambatana na milipuko mingine katika eneo la Soko ambapo Watu wengi wamejeruhiwa


Al-Shabaab wamekuwa wakitajwa kuhusika katika matukio mengi ya aina hiyo hivi karibuni baada ya Rais wa #Somalia, Hassan Sheikh Mohamud, kutangaza vita dhidi ya kikundi hicho


Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.