ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, November 3, 2022

HII HAPA RAMANI YA UWANJA WA NDEGE MSALATO JIJINI DODOMA UTAKAOJENGWA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mhe. SAMIA SULUHU HASSAN tarehe 30 Octoba 2022 ameweka jiwe la msingi ujenzi wa uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Msalato jijini Dodoma.

Kukamilika kwa ujenzi wa uwanja huu utasaidia kukuza uchumi wa taifa pamoja na kurahisisha usafiri wa anga. Huu ni mwendelezo wa serikali ya awamu ya sita kuhakikisha inaanzisha na kuendeleza miradi ya kimkakati ya kuleta maendeleo nchini.

Wakala wa Barabara Nchini (Tanroads) imesema uwanja cha ndege wa Msalato pindi utakapokamilika utakuwa na uwezo wa kuhudumia abiria milioni 1.5 kwa mwaka.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.