ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, September 15, 2022

ALICHOSEMA MBUNGE WA NYAMAGANA MBELE YA MAKAMU WA RAIS

 NA ALBERT G SNGO/ MWANZA

Mbunge wa Jimbo la Nyamagana, Jijini Mwanza Stanslaus Mabula haya ndiyo aliyoyawasilisha jana Tarehe 14 September 2022 mbele ya Makamu wa Rais wa Tanzania Dkt. Philip Mpango, akihitimisha ziara yake kwa kuweka jiwe la msingi Mradi wa Maji Butimba, Mwanza. Mahitaji ya maji kwa sasa kwa jiji la Mwanza ni lita milioni 160 lakini uwezo wa kuzalisha maji wa chanzo cha maji Capripoint ni lita 98 tu, hivyo baada ya mradi huu kukamilika ifikapo mwezi Disemba 2022 (kama ahadi ya kuharakisha) utaongeza lita milioni 48 na kuwa suluhu ya uhakika kwa changamoto ya upatikanaji wa maji hadi mwaka 2040.







Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.