ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, March 26, 2022

TASAC YATOA ELIMU JUU YA USALAMA WA SAFARI ZA MAJINI ZIWA VICTORIA.

 Shirika la uwakala wa meli nchini TASAC, limetoa wito kwa Wanafunzi nchini kuzingatia masomo ya sayansi ,Hisabati na Jiografia ili waweze kutimiza ndoto zao za kitaaluma ikiwemo ya kuwa mabaharia.

Akizungumza na baadhi ya wanafunzi wa shule ya Sekondari ya KAHANGARA, wilayani MAGU mkoani MWANZA Kaimu meneja masoko na mahusiano wa shirika hilo JOSEPHINE BUJIKU amesema hali hiyo inatokana na uwepo wa mahitaji makubwa ya wafanyakazi katika sekta ya maji hapa nchini.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.