ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, November 18, 2021

RAIS AMTUNUKU CHETI DKT GWAJIMA.

 


DKT. GWAJIMA AMSHUKURU RAIS KWA CHETI NA NISHANI YA 'MEDAL OF GOLD'.

Na.WAMJW  DSM

Dkt. Dorothy Gwajima, amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan kwa kutambua mchango wake katika kushirikiana na Taasisi ya Skauti Tanzania hivyo, kumtambua kuwa miongoni mwa waliotunukiwa cheti na nishani ya "Medal of Gold".

Dkt. Gwajima amewashukuru watumishi na wadau wote wa sekta ya afya na kusema kuwa cheti na nishani hiyo ni heshima kwa Wadau wote wa Sekta ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto na itachochea zaidi Ari na Kasi ya kazi katika kushirikiana na Skauti Tanzania.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.