ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, January 17, 2020

NAMBA ZA UTAMBULISHO NIDA MILIONI 6.8 HAZIJATUMIKA KUSAJILI LAINI ZA SIMU.


Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa NIDA inaendelea na zoezi la usajiri na utambuzi wa watu, uzalishaji wa namba za utambulisho wa Taifa na vitambulisho na ugawaji wake kwa wananchi zinazotumika kusajili laini za simu kwa alama za vidole na huduma nyingine zinazohitaji utambulisho.

NIDA imezalisha idadi kubwa ya namba za utambulisho wa Taifa kati ya hizo, namba za utambulisho wa Taifa 6,806,096 hazijatumika kusajili laini za simu kwa alama za vidole.



Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.