ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, January 27, 2020

HIVI NDIVYO WADAU WA MADINI NCHINI TANZANIA WANAVYOPAMBANA KUIKUZA SEKTA HIYO.



Balozi wa Tanzania nchini China, Mbelwa Kairuki ametanabaisha fursa za kibiashara zilizopo ndani ya sekta ya madini katika soko la nchini China, na kuwahimiza watanzania kuzichangamkia kwani uwakilishi wake upo tayari kuwahuwisha wafanyabiashara hao kwa kila hatua.


Balozi Kairuki amezibainisha fursa hizo mwishoni mwa wiki (Januari 24, 2020) jijini Mwanza wakati akizungumza kwenye mkutano wa wadau wa madini Tanzania uliolenga kujadili fursa za uwekezaji, teknolojia, mitaji na masoko ya madini huku akiwasihi wafanyabiashara wa madini Tanzania kujiandaa na safari ya kutembelea China mwezi ujao ili kusaka fursa mbalimbali katika sekta ya madini.

KATIKA PICHA:-

HAYA ndiyo yaliyojiri katika kikao cha wadau wa madini kilichofanyika jijini Mwanza Januari 24, 2020.











Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.