ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, January 30, 2020

HAYAWI HAYAWI HATIMAYE MRADI WA MAJI MAGU WAKAMILIKA


Hali ya upatikanaji wa huduma ya maji kwa ujumla kama wilaya kwa sasa tumevuka asilimia 80 lakini kwa Magu mjini ni zaidi ya asilimia 100 kwasababu huu mradi ni mkubwa na umegharimu takribani bilioni 16 na unauwezo wa kuzalisha maji lita milioni 7 ambazo kiujumla zina uwezo wa kukidhi mahitaji ya watu zaidi ya laki moja na wakazi wa Magu mjini ni takribani 55,000" Ni kauli ya mkuu wa wilaya ya Magu Philemon Sengati wakati akitoa taarifa kwa Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM mkoa wa Mwanza wakati wa ziara ya ukaguzi miradi ya maendeleo mkoani hapa. Kabla ya ujenzi wa chanzo kipya cha maji, awali chanzo cha Maji kilichokuwepo kilichojengwa mnamo mwaka 1974 pindi idadi ya watu wakiwa 6000 tu, kilikuwa hakiwezi kutosheleza wananchi wote kwani idadi ya watu tayari imeongezeka.



Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.