ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, January 6, 2020

AGIZO LA JPM SHULE YA ISENI B KASI YA UTEKELEZAJI WAKE YAMSHANGAZA JAFO.


AGIZO la Rais John Magufuli alialolitoa Desemba 7, mwaka jana (2019) na kuutaka uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, kujenga madarasa matano katika Shule ya Msingi Iseni B katika Halmashauri hiyo, limetekelezwa kwa zaidi ya asilimia 90.

Akizungumza mwishoni mwa wiki akiwa shuleni hapo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Selemani Jafo ameupongeza uongozi wa mkoa na jiji la Mwanza kwa utekelezaji wa agizo hilo uliofanyika ndani ya mwezi mmoja na sasa umefikia hatua ya upauaji.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.