ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, August 1, 2019

Shirika la NSSF lafungua milango zaidi kwa watanzania

Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) limewahimiza wananchi waliojiajiri na kuajiriwa katika sekta isiyo rasmi nchini, kutumia fursa iliyopo ya kujiunga na shirika hilo ili kunufaika na mafao mbalimbali ikiwemo ya uzazi na uzeeni.

Meneja Uhusiano Elimu kwa Umma NSSF, Lulu Mengele aliyasema hayo jana kwenye mkutano baina ya shirika hilo na waandishi wa habari mkoani Mwanza, uliolenga kutoa elimu kuhusiana na kampeni ya Marafiki wa NSSF yenye lengo la kuhakikisha wananchi wote wanajiunga na kunufaika na mafao ya jamii.
Tazama Video hapa chini

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.