ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, May 11, 2019

WAZAZI WA RC MWANZA WATIMIZA MIAKA 50 YA NDOA


Miaka 50 ya ndoa ya wazazi wa Mkuu wa mkoa wa Mwanza John V.K. Mongella, Pichani ni wakiwa mbele ya madhabahu ni Bw. Silvin Ibengwe Mongella na mkewe Bi. Getrude Mongella aliyekuwa Rais wa Kwanza Bunge la Umoja wa Afrika, pia mbunge wa zamani Jimbo la Ukerewe mkoani Mwanza nchini Tanzania, ambapo mapema hii leo Ijumaa ya tarehe 10 Mei 2019 majira ya saa 12:30 asubuhi ibada Takatifu ya shukurani imefanyika katika Kanisa Katoliki kigango cha Kiseke wilayani Ilemela jijini Mwanza.

Miaka 50 si mchezo hakika kuna kitu cha kujifunza toka kwao, Jeh wao wamesema nini? Sikiliza VIDEO HII INA KILA KITU.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.