ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, April 22, 2019

MBAPPE AIPA PSG UBINGWA WA LIGUE 1


Mshambuliaji wa Paris Saint-Germain, Kylian Mbappe akishangilia na mchezaji mwenzake, Dani Alves baada ya kuifungia mabao yote timu yake dakika za 15, 38 na 55 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Monaco kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaransa jana Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris.

 Bao pekee la Monaco lilifungwa na Aleksandr Golovin dakika ya 38 na kwa ushindi huo PSG ilitangazwa rasmi kuwa bingwa wa Ligue 1 kutokana na kufikisha pointi 84 katika mchezo wa 33 ambazo haziwezi kufikiwa na timu nyingine.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.