Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa amefungua kituo cha Afya cha Koromije kilichopo wilayani Misungwi mkoani Mwanza, kilichofanyiwa ukarabati mkubwa na kuhutubia wananchi.
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
Rais Museveni atangazwa mshindi wa uchaguzi Uganda
-
Tume ya uchaguzi nchini Uganda imemtangaza Rais Yoweri Kaguta Museveni kama
mshindi wa uchaguzi uliofanyika Alhamisi wiki hii, akiwa na jumla ya kura
7,946...
0 comments:
Post a Comment