ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, October 14, 2018

RC MONGELLA AZINDUA KUSANYIKO LA IBADA YA WAISLAMU MWANZA.


GSENGOtV

🕎..... Mwishoni mwa juma hili siku ya Ijumaa ya tarehe 12 oct 2018 Viwanja vya Furahisha jijini Mwanza, Akimwakilisha Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt Hussein Mwinyi, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella amefungua kusanyiko la Ibada ya Mafunzo ya Kuishi katika Imani.

Jumuiya ya Markaz Fiisabililah Tabrigh  yenye makazi yake Gongolamboto jijini Dar es salaam ndiyo waandaaji wa Mafunzo hayo.

Pia katika viwanja hivyo kumekuwa na zoezi la uchangiaji damu.

Pamoja na Uzinduzi, hii hapa sehemu ya yale yaliyojiri ndani ya kusanyiko hilo. kwa Shekh Abbas Juma Kachibu mmoja kati ya viongozi waandamizi .

#DamuSalama 
#TanzaniaNiMoja

#Upendo


Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.