ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, September 1, 2018

KATIKA KIPINDI CHA MIAKA MI-3 YA UBUNGE JIMBO LA BUCHOSA UTAWALA WA SERIKALI AWAMU YA 5 YA JPM, TIZEBA ANA NINI?



GSENGOtV

AFYA:- Huduma ya upasuaji sasa inafanyika katika hospitali za visiwani .
- Jumla ya Zahanati 28 zinajengwa kwa mpigo.

MAJI:- Fedha bilioni 27 kutumika katika ujenzi wa mradi mkubwa wa maji Jimbo la Buchosa, mradi utakaoanza mapema mwezi Januari 2019.

UMEME:- Tayari umeme umeingia visiwani - Matarajio kufikia 2020 Upatikanaji wa umeme Jimbo la Buchosa utakuwa asilimia 90.

KILIMO:- Buchosa peke yake msimu wa kilimo 2017-2018 ilizalisha pamba kilo laki 465,000, safari hii msimu wa mauzo ukiwa bado unaendelea tayari wamekwisha uza kilo milioni 1,700,000 za pamba, ikiwa ni ongezeko karibia mara nne ya uzalishaji wa msimu uliopita wa mwaka jana 2017.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.