Mkongwe wa tasnia ya vichekesho nchini Mzee King Majuto amefariki jana jioni ya tarehe 8/08/2018 akiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokua amelazwa.
Taarifa kutoka kwa watu wake wa karibu zimethibitisha kutokea kwa kifo cha gwiji huyo wa sanaa ambaye amejizolea umaarufu kila pembe ya Nchi yetu.
Taarifa zaidi ya wapi ulipo msiba na taratibu zote za mazishi zitakujia baada ya kuwasiliana na familia ya marehemu.
WAKABIDHIWA ZAWADI MBALIMBALI KUPITIA VUNADEILE
-
Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Kampuni ya Tree Oceans Ltd .
Inayojishughulisha na uendeshaji wa mchezo wa kubashili wa VUNADEILE Nasee...
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.