ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, August 9, 2018

KWAHERI MUIBIZAJI MKONGWE KING MAJUTO.

Mkongwe wa tasnia ya vichekesho nchini Mzee King Majuto amefariki jana jioni ya tarehe 8/08/2018 akiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokua amelazwa.


Taarifa kutoka kwa watu wake wa karibu zimethibitisha kutokea kwa kifo cha gwiji huyo wa sanaa ambaye amejizolea umaarufu kila pembe ya Nchi yetu.

Taarifa zaidi ya wapi ulipo msiba na taratibu zote za mazishi zitakujia baada ya kuwasiliana na familia ya marehemu.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.