ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, May 13, 2018

I&M BENKI YAFUNGUA TAWI JIPYA KATIKATI YA JIJI LA MWANZA

Wakazi wa mkoa wa  Mwanza  wameshauriwa kuzitumia taasisi za fedha kwa ajili ya kukuza biashara na kujiendeleza kiuchumi na kufikia lengo  la serikali kufikia uchumi wa kati.
Akizungumza wakati wa  ufunguzi wa benki ya I and M mkoani mwanza Mkuu wa mkoa wa Mwanza John Mongella amesema kuwa taasisi hizo zikitumika ipasavyo zitasaidia kuchochea maendeleo kwa haraka .

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.