Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo April 18, 2018 ameteuwa watu kumi kushika nafasi mbalimbali akiwepo Prof. Idris Suleiman Kikula kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Madini.
Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi imeeleza kuwa uteuzi wa Prof. Kikula umeanza April 17, 2018
Diwani awawashia moto wanaomtukana Rais Samia
-
Na Woinde Shizza ,moshi
Diwani wa kata ya boma mbuzi Halmashauri ya Wilaya ya Moshi, Juma Rahibu,
amewajia juu baadhi ya Watanzania wanaomkashifu na kum...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.