ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, April 5, 2018

KHALIGRAPH JONES AKIRI KIU YAKE KUFANYA COLLABO NA DIAMOND PLATNUMZ


Mwanamuziki namba moja wa Hip Hop toka nchini Kenya Khaligraph Jones amesema kuwa moja kati ya wakali anaowakubali kwenye kiwanda cha muziki barani Afrika ni Mwanamuziki kutoka nchini Tanzania Diamond Platnumz.

Khaligraph anakiri kuwa mafanikio aliyofikia Diamond ni alama tosha ya uwakilishi wa muziki wa Afrika Mashariki, amesema hayo katika mahojiano na Mtangazaji wa kipindi cha Hot Stage cha  93.7 Jembe Fm Mwanza John Jackson (JJ) kinachoruka kila siku za wiki yaani Jumatatu hadi Alhamisi. majira ya saa moja kamili jioni hadi saa tatu usiku. 

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.