ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, March 2, 2018

WANAFUNZI 400 WA LYAMUNGO SEC WATIMULIWA BAADA YA KUMFANYIZIA MWALIMU WAO WA NIDHAMU



WANAFUNZI zaidi ya 400 wa kidato cha 5 katika shule ya sekondari ya Lyamungo iliyoko wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wamesimamishwa masomo kwa muda wa siku 17 mara baada ya kufanya vurugu ya kuvamia nyumba ya mwalimu wa nidhamu wa shule hiyo  Mwalimu Safarani Rasini na kuharibu nyumba ya mwalimu huyo zikiwemo mali za shule.

Nini chanzo?....Ungana na mandishi wetu Fatma Seif kutoka eneo la tukio.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.