ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, March 10, 2018

MSHINDI WA DROO YA KAPENI YA MALENGO NBC APATIKANA TARIME


NA ZEPHANIA MANDIA WA G.SENGO TV

Taasisi za kifedha zimekuwa zikitoa elimu kwa wananchi kuhusu uwekaji akiba, matumizi bora ya fedha na kuhimiza kutumia benki kwaajili ya usalama wa fedha zao.
Benki ya NBC ambayo ni mojawapo ya taasisi ambazo zimekuwa zikihamasisha wananchi kujiwekea akiba kupitia Malengo akaunti imechezesha draw maalum kwa washiriki wa kampeni hiyo iliyofanyika kwa kipindi cha miezi mitatu katika kanda ya ziwa. 
Katika kampeni ya akaunti ya malengo iliyoendeshwa na benki hiyo kwa nchi nzima,kwa upande wa kanda ya ziwa mkazi wa Tarime, TUNDA MACHAGE ameibuka mshindi kwa kujinyakulia gari dogo maarufu kama “kirikuu”  

Meneja wa kampeni ya wekeza NBC MTENYA CHEYA,Nae akasema kuhusu droo hiyo (CHEKI video).






Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.