ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, February 9, 2018

JEH SOKO NA SHULE TUANZE NA KIPI? MKUU WA WILAYA YA SENGEREMA UZINDUZI WA ZOEZI LA UPANDAJI MITI WILAYANI SENGEREMA LEO


MKUU WA WILAYA SENGEREMA MH;EMMANUEL KIPOLE LEO SAA MBILI ASUBUHI,  AMEZINDUA ZOEZI LA UPANDAJI MITI WILAYANI HUMO KATIKA KATA YA IBISABAGENI ZOEZI LILILOUZULIWA NA BAADHI YA VIONGOZI NA WANANCHI KATIKA KATA HIYO AMBAPO ZAIDI YA MITI 132 

JEH SOKO NA SHULE TUANZE NA KIPI? bila shaka utakuwa unajiuliza shwali hili linaingiaje? Basi fuatilia kile kinachosimuliwa kwenye video.

Akizungumza na wananchi wa kata hiyo mh EMMANUEL  KIPOLE  Amewataka  kuendelea na utuzaji wa mazingira na kuahidi kutatua changamoto ya ujenzi wa soko iliyodumu zaidi ya miaka 32 sanjali na hayo ametoa  lai kwa wananchi kushirika katika shughuli za maendeleo yakiwemo madawati.

Kwaupande  wake mwenyekiti wa mtaa wa IBISABAGENI amesema kuwa miti hiyo imenunuliwa kwa michango ya wananchi waliojitolea kwa hiyali bila kulazimishwa ikiwa na garama ya shilingi 40,000/=

Wakitoa maonyao baadhi ya wananchi walioshiriki katika zoezi hilo wao wamesema kuwa miti hiyo itawasaidia kuboresha mazingira na kuahidi kuitunza na kuilinda kwakuwa ni kwa faida yao wenyewe

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.