Meneja wa Chelsea Antonio Conte ambaye awali alikuwa anaiongoza Juventus, ametupilia mbali ripoti zinazomhusisha na AC Milan. (Daily Express)
Meneja wa Watford Marco Silva amekataa kujibu maswali kuhusu kazi huko Everton baada ya kblabu yake kushindwa 3-2 na Everton. (Liverpool Echo)
Arsenal na Manchesetr City wanatarajiwa kumwida mchezaji wa safu ya kati wa Ajax, Frenkie de Jong, 20, mwezi Januari. (Sun)
Meneja wa West Brom Tony Pulis hana hofu kuwa mechi kumi bila ushindi na kushindwa mara tatu mfululizo kutasababisha bodi klabu hiyo kumfuta. (Birmingham Mail)
Aston Villa hawana mpango wa kuwauza Scott Hogan, 25, Henri Lansbury, 27, Jack Grealish, 22, au James Bree, 19 ambao wote wamehusishwa na kuondoka huko Villa Park.
Tupe maoni yako



0 comments:
Post a Comment