ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, March 9, 2017

MAZINGIRA YA BARABARA YA MISHENI KIRUMBA JIJINI MWANZA NA DHAHMA YA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA.

 Ni barabara ya Misheni Kirumba kushuka kuelekea CCM Kirumba, pembezoni mwa Villa Park, The Kiss Club kulia nako kushoto ni uwanja wa Furahisha, Studio za ABC na maduka, hali ya mazingira mara baada ya mvua kubwa kunyesha jana jijini hapa.
 Askari Polisi kikosi cha usalama barabarani Afande Mama Kothecha akijaribu kurudisha magari yasipite barabara ya Misheni Kirumba kushuka kuelekea CCM Kirumba mara baada ya mvua kubwa kunyesha jana jijini hapa. PICHA NA ZEPHANIA MANDIA.
  Ni barabara ya Misheni Kirumba kushuka kuelekea CCM Kirumba, pembezoni mwa Villa Park, The Kiss Club kulia nako kushoto ni uwanja wa Furahisha, Studio za ABC na maduka, hali ya mazingira mara baada ya mvua kubwa kunyesha jana jijini hapa.
  Ni barabara ya vumbi pembezoni mwa uwanja wa Furahisha eneo la gereji.
 Hali tete.
 Uwanja wa Furahisha ambako kulikuwa na maadhimisho ya Siku ya Wanawake Dunia,viwanja hivi vilikuwa katika hali hii.
Huwezi kutofautisha wapi barabara na wapi mtaro ukijitusu imekula kwako.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.