Wednesday, September 28, 2016
HABARI
Mahakama Kuu imekana kuitambua kampuni ya Fosters Auctioneers and General Traders iliyohusika kuondoa vitu vya kampuni za Freeman Mbowe kwenye jengo la Shirika la Taifa la Nyumba (NHC).
Inadaiwa dalali aliyetumiwa na NHC kuziondoa kampuni za Mbowe katika jengo hilo hajasajiliwa na Mahakama.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.