![]() |
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. John Pombe Magufuli akipunga mkono kwa wananchi waliojitokeza kumpokea. |
![]() |
Watu na mtu wao..... |
![]() |
Sasa ni safari kutoka airport Mwanza hadi viwanja vya Furahisha vilivyoko Kirumba jijini Mwanza. |
![]() |
Barabara ya Makongoro jijini Mwanza. |
![]() |
Watu wamefurika hapa. |
![]() |
Ni upenyo almuradi kupata kuona kile kilichokuwa kikifanyika. |
![]() |
Katika mkutano huo Dkt.Magufuli alipata mapokezi makubwa kiasi cha kuuufanya Uwanja wa Furahisha kuelemewa na idadi ya wananchi na Makada wa CCM waliofika uwanjani hapo. |
![]() |
Katika mkutano huo Dkt.Magufuli alipata mapokezi makubwa kiasi cha kuuufanya Uwanja wa Furahisha kuelemewa na idadi ya wananchi na Makada wa CCM waliofika uwanjani hapo. |
![]() |
Angelina Mabula ambe ni Mgombea ubunge jimbo la Ilemela. |
![]() |
Stanslaus Mabula ambae ni mgombea ubunge Jimbo la Nyamagana. |
![]() |
Bango lasomeka hivi. |
![]() |
Wananchi wakipunga mikono hewani kuashiria maridhiano na kile kilichokuwa kikiendelea jukwaa kuu. |
![]() |
Watu na vyama vyao....watu na watu wao. |
![]() |
Ni katika Uwanja wa Furahisha kwenye mkutano wa hadhara wa Mgombea Urais wa CCM Dkt.John Pombe Magufuli wa kuomba kura kwa wananchi katika kuelekea kwenye uchaguzi mkuu nchini |
![]() |
Wananchi waliofurika kusikiliza sera kwenye mkutano wa hadhara wa Mgombea Urais wa CCM Dkt.John Pombe Magufuli wa kuomba kura kwa wananchi katika kuelekea kwenye uchaguzi mkuu nchini. |
![]() |
Wakazi wa jiji la Mwanza na vitongoji vyake waliojitokeza katika mkutano wa hadhara wa Kampeni za CCM zilizohudhuriwa na Maelfu ya watu. |
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.