Mh.Lowassa asema safari yake ya matumaini bado inaendelea kupitia umoja wa katiba ya wananchi huku akitanabaisha mambo kadha wa kadha.Mh. Lowassa ajibu maswali ya waandishi mbalimbali walio hudhuria mkutano huo huku akieleza masuala mbalimbali ikiwemo hofu ya kulipiza kisasi. Mh. Edward Lowassa akana tuhuma za ufisadi wa RICHMOND, asema amechoshwa na kelele hizo hivyo mwenye ushahidi apelike mahakamani.Mwakilishi wa CUF ampongeza Lowassa kuhamia upinzani kupitia Chadema huku akisema mwaka huu pata chimbika.
Mh.Mbatia ampongeza Lowassa toka uvunguni mwa moyo wake huku akisema Tanzania bila CCM inawezekana.
SANGU: BODI YA WADHAMINI WCF KUTEKELEZA DIRA 2050
-
Na. OWM-KAM – Dodoma
Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) imetakiwa kuweka
mikakati ya kuanza utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maende...
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
0 comments:
Post a Comment