ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, August 8, 2014

HUYU NDIYE SUPER NYOTA DIVAZ KWA MKOA WA MWANZA.

21dncMWANZA hatimae wametoa Super Nyota wao ambaye amepatikana leo August 07 kwenye viwanja vya Jembe ni Jembe ambapo mshindi aliyeibuka ni Honeya ambae kwa aina yake ya ushiriki usingeweza kuamini kama atashinda.
Miongoni mwa vitu ambavyo vimesemwa na mtoa fomu hizo kuwa msichana huyo kwanza alichelewa kuchukua fomu na kujaza na lingine ambalo limewashangaza hata majaji ni pale alipokuja tayari wenzake wameanza lakini kwa alichokifanya hakuna mtu aliyeamini.
Nakumbuka Fetty ambaye ndiye alikua Jaji mkuu alimuuliza kama aliwahi kuimba sehemu yoyote ambaye inamfanya kujua kupangilia muziki wake kama muziki wa bendi lakini msichana huyo alisema hajawahi ingawa ana single aliwahi kurekodi.
Hivi ndivyo mambo yalivyokuwa jana kwa fasi ya Jembe Beach Resort Mwanza.
DSC_0394
DSC_0395
2dnc
13dnc
6dnc
3dnc
22dnc
26dnc
Mshidi wa Super Nyota Divaz 2014 Honea akiimba..
39dnc
Muda wa kuwajua tatu bora uliwadia.
83dnc
washindi nafasi ya kwanza na yapili.
110dnc
Dj Fetty (kushoto) akihojiana na Mshindi wa kwanza wa Super Nyota Divaz Mwanza 2014 Mwanadada Honea.
PICHA ZOTE KWA HISANI YA MILLARD AYO.  

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.