![]() |
| Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Evarist Ndikilo akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini yaliyoadhimishwa katika viwanja vya Mahakama kuu ya Tanzania Kanda ya Mwanza. |
![]() |
| Jaji Mfawidhi wa Mahakama kuu Kanda ya Mwanza Aishieli Sumari akitoa hotuba kwenye kusanyiko la maadhimisho hayo ya sheria mkoani Mwanza. |
![]() |
| Katika hotuba yake Jaji Mfawidhi wa Mahakama kuu Kanda ya Mwanza Aishieli Sumari, aliainisha -:Masuala yanayokwamisha utendaji haki kwa kesi kuamuliwa kwa wakati, -:Changamoto toka kwa vitengo vya Makarani, Walinzi na Mahakimu, -:Washitakiwa nao wananafasi katika suala la utoaji haki kwa wakati kwani kwa kukataa kukiri makosa wanasababisha kesi nyingi kuendelea kusongamana kwenye mahakama zetu nchini. |
![]() |
| Kwa umakini. |
![]() |
| Mhe. Angelo Rumisha ambaye ni Hakimu Mfawidhi wa Mahakama kuu mkoa wa Mwanza akitoa utaratibu kama mmoja wa wasimamizi wa utaratibu wa sherehe hizo. |
![]() |
| Burudani ilihusishwa hapa! Wazee wa kazi vitengo mbalimbali vya sheria walipata fursa kutoana jasho.....mpango ambao ulinogesha kweli kweli sherehe hizo... Ilikuwa safi sanaAAaa!!. |
Tupe maoni yako











0 comments:
Post a Comment