Mwili wa Mwanamuziki wa Bongo flavour nchini Tanzania Albert Mangwea umewasili asubuhi ya leo kwenye viwanja vya Leaders Club ikiwa ni matayarisho ya kutoa heshima za mwisho kwa wapenzi wa muziki wake wakiwemo jamaa, ndugu na marafiki ambapo hatua hizo zitakamilika mnamo saa 6 mchana ili kuanza safari kuelekea mkoani Morogoro ambako atazikwa.
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
Rais Museveni atangazwa mshindi wa uchaguzi Uganda
-
Tume ya uchaguzi nchini Uganda imemtangaza Rais Yoweri Kaguta Museveni kama
mshindi wa uchaguzi uliofanyika Alhamisi wiki hii, akiwa na jumla ya kura
7,946...
0 comments:
Post a Comment