![]() |
| Ujumbe maridhawa wa kinywaji maalumu cha tamasha la Fiesta. |
![]() |
| " Hii ndio ya kwangu,ntaitinga kwa ajili ya kumuona Rozzzaaaay".! |
![]() |
| " Daah hii inanitosha kabisa"! |
![]() |
| Antu Mandoza akishoo love na baadhi ya mashabiki |
![]() |
| Ni kushoo love tuu afuu Bhaaaaassss....! |
![]() |
| Kama ada sehemu yenye mkusanyiko tunapeana riziki hivyo hivyo kwa namna moja ama nyingine masiha yanaendelea. |
![]() |
| Mratibu wa kikosi cha lala salama kuelekea kwenye kilele cha tamasha hilo hapo jumamosi,Mully B akitoa maelekezo mafupi kwa baadhi ya watu waliojishindia tiketi za fiesta. |
![]() |
| Mtangazaji wa Clouds FM,Dj Fetty akifanya mazungumzo ya mmoja wa washindi aliyejishindia simu mapema leo jioni kwenye viwanja vya Biafra,Kinondoni jijini Dar. |
Tupe maoni yako












.jpg)
0 comments:
Post a Comment