![]() |
| Mbunge wa Jimbo la Kisesa Luhaga J. Mpina (kulia) akikabidhi mashuka kwa hospitali ya Wilaya ya Meatu kwa Mkurugenzi wa wilaya hiyo Isaya M. Moses |
![]() |
| Sehemu ya vifaa vya maabara na madawa vilivyokabidhiwa na Mh. Mbunge wa jimbo la Kisesa Luhaga J. Mpina kwa vituo vya afya jimboni kwake. |
![]() |
| Nesi wa kituo cha Afya Mwandoya Aneles Lubaganya akiwa kazini ndani ya kituo chake cha kazi. |
![]() |
| Huduma zikiendelea Kituoni cha Afya Mwandoya. |
![]() |
| Kwa mujibu wa Mh. Mbunge Luhaga Mpina amesema kuwa upo mpango wa kuboresha huduma za maji kwa mji wa Mwandoya, suala ambalo limekwisha wasilishwa kwenye wizara husika serikalini. |
Tupe maoni yako











0 comments:
Post a Comment