ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, May 9, 2012

MISS NYAMAGANA 2012/2013 YAKWIVAA!!!

Baadhi ya washiriki waliojitokeza kushiriki hadi sasa...

Washiriki wengine wakiendelea kujiandikisha darasa maalum linaendelea....

Warembo wakifuatilia maelezo kwa umakini.

Pozi za awali kwa flash...

Flash two.

Flash three.

Shindano la Miss Nyamagana 2012/2013, linatarajiwa kufanyika usiku wa Jumamosi ya terehe 02 June 2012 katika ukumbi wa Gold Crest Jijini Mwanza.
Takriban warembo 25 wamejitokeza katika shindano hilo, huku idadi ya warembo kujaza form za ushiriki ikiongezeka kila kukicha. Mazoezi kwa warembo yataanza rasmi tarehe 14 June 2012 katika ukumbi wa Gold Crest Mwanza.
Kwa mawasiliano ya udhamini na ushiriki kwa warembo piga namba 0717 557 220, 0764 088 485.

Tupe maoni yako

1 comments:

Note: Only a member of this blog may post a comment.