Je waweza otea picha hii imepigwa, mpigaji akiwa jengo gani barabara ya Kenyata Mwanza? .
Mapipa mengi ya taka yanahitaji ukarabati. Jeh! nijukumu la mdhamini au Halmashauri ya jiji kukarabati vitendea kazi hivi?
Kitako kime goo..
Nyaya hewani toka kwenye mita za luku kama china vile...
Kiukweli mara baada ya wahindi kutufilisi hakuna juhudi za dhati zinazoonekana kuhusu usafiri wa kutumia njia hizi.
Ndani ya ardhi yenye rutuba taratiiib' kitaa kinakuwa..
'Anang'ataa....'
Hata mti ukichoka hung'oka wenyewe.
Chemichemi ya maji..
Mzigo huooo kuelekea kamanga then Sengerema.Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment