ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, March 4, 2012

SIMBA WAIONDOSHA KIYOVU KOMBE LA SHIRIKISHO

Mchezo baina ya timu ya Simba dhidi ya Kiyovu ya nchini Rwanda uliomalizika jioni hii kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Simba imeshinda 2-1 na kujihakikishia kuendelea na mashindano ya Kombe la Shirikisho.

Simba Sc

Kiyovu

Wachambuzi wa soka toka Clouds Fm na Clouds Tv Ephraim Kibonde (L) na Shaffih Dauda (R) wakiliendeleza gurudumu.

Tamu tamu ya burudani dimbani.

Mshambuliaji Felix Sunzu ndiye aliye pachika mabao ya timu ya Simba katika Dakika ya 19 na 32 za kipindi cha kwanza cha mchezo baada ya kupata pasi safi kabisa kutoka kwa mchezaji Emmanuel Okwi nao Kiyovu walipata goli dk ya 76.

Hadi mwisho Simba 2 Kiyovu 1.
(Picha zote kwa hisani ya blogu ya JIACHIE)

ZAIDI BOFYA HAPA CHINI
http://www.michuzijr.blogspot.com/2012/03/simba-sc-wanaongoza-goli-2-dhidi-ya.html

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.