Leo ni siku ya kuzaliwa mwanadada Doreen Goodluck, Blogu hii na wadau wake wote yakutakia kila la kheri katika life, Inshahlah Mwenyezi azidi kukushushia neema kwa kila chema uombacho hatimaye uzime mishumaa 100 hivi na nini na nini...
Mambo sita kuuelewa msimamo wa Papa mpya
-
Papa Leo alichaguliwa kuwa kiongozi mpya wa Kanisa Katoliki Alhamisi
kufuatia kifo cha mtangulizi wake, Papa Francis, katika kongamano la siku
mbili katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.