Mwili wa marehemu Beatrice Kwacha ukiwasili makaburini kwa mazishi leo alasili katika makaburi ya Kaangaye jijini Mwanza.
Mwili wa marehemu Beatrice Kwacha aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo cha SAUT Mwanza, aliyefariki kwa ajali ya gari akitokea mkoani Arusha ukishushwa katika nyumba yake ya milele.
Bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
may the your soul rest in peace beatrice
ReplyDeletewill miss you beatrice.may your soul rest in peace
ReplyDelete