Kuna maeneo hapa nchini yamesahaulika kabisa hasa linapokuja suala la miundombinu, Mkoa wa Kigoma ni moja ya mifano.. siyo reli tu ambayo sasa imekuwa manati kusafiriwa bali hata barabara ni cheche, hapa ni basi lilikwama wilayani Kasulu mkoani Kigoma karibu na mto Malagalasi.
Kutokana na ubovu wa barabara eti' lori likagota katikati ya barabara na kuzuia njia hivyo dereva wa basi la abiria toka kampuni ya Allys aliamua kupita pembezoni mwa barabara hali iliyosababisha basi nalo' kuzama kwenye tope na kukwama kwa muda mrefu.
Utekaji nao umechukuwa kasi kwa kiwango kikubwa hivyo kwa ajili ya usalama kuna vituo mbalimbali vya ulinzi ambavyo hutoa askari wake kulinda usalama wa abiria dhidi ya maharamia.
KOICA Yajenga Maabara ya Kisasa ya 3D ATC
-
Na Mwandishi Wetu, Arusha
Chuo cha Ufundi Arusha (ATC), kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya
Kimataifa la Korea (KOICA), kimezindua rasmi maabara ya...
KOICA Yajenga Maabara ya Kisasa ya 3D ATC
-
Na Woinde Shizza, Arusha
Chuo cha Ufundi Arusha (ATC), kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya
Kimataifa la Korea (KOICA), kimezindua rasmi maabara...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.