Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza Bw. Clement Mabina akizindua katiba ya UWT mfuko wa kuweka na kukopa katika hafla hiyo iliyofanyika kwenye ukumbi wa PK jijini Mwanza.
Katiba tuliyoizindua ndiyo hii..
Mh. Mabina akisoma muhtasari wa baadhi ya vipengere vilivyomo kwenye katiba.
Katibu msaidizi wa UWT Mwanza akisoma taarifa fupi kuhusu azimio la mfuko huo.
Katibu wa CCM kata ya Nyamanoro Bw. Mtoro akikabidhisha mchango wake na wadau wa idara yake kuuboresha mfuko wa UWT Nyamanoro Mwanza.
Kupitia mfuko huo akinamama watakuwa na uwezo wa kukopa kwa riba nafuu hivyo kuweza kujikwamua na harakati za maendeleo na umasikini zinazowakabili.
Hongera akinamama kwani Kupitia vikundi kama hivi mtakuwa mnajitengenezea njia kupata unafuu wa mikopo toka kwa asasi nyingine za kifedha hivyo kuboresha mifuko yenu ya kukopeshana kwa maendeleo.
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.