Mgeni rasmi mwakilishi wa Familia ya Hayati Baba wa Taifa, Bw. Madaraka Nyerere akikata utepe kuzindua mradi wa kuchangia madawati na elimu Shule za mitaa na vijiji vya kata ya Nyamswa na Ikizu ambapo jumla ya madawati 50 yalitolewa jana.
Ndugu Juma Makongoro akikabidhi Madawati 30 kwa Bw. Madaraka Nyerere ambaye aliyawasilisha kwa uongozi wa shule.
Wanafunzi wa Shule ya Ikizu A wakikabidhiwa madawati 20 toka mwakilishi wa Mradi wa Zinduka mkoani Mara.
"Mimi binafsi nilisoma katika shule hii kongwe, lakini kama mtamkumbuka Mwalimu aliyenifundisha darasa la kwanza, marehemu Karemela Diaz kwenye mazishi yake nilipata nafasi ya kutoa ushuhuda wa namna ninavyomfahamu na nikaahidi na kutoa wito kwa Waikizu wote kutafuta njia bora ya kumuenzi. Sasa njia moja wapo tumeianzisha leo..."Says Juma Makongoro.
Naye Mgeni rasmi mwakilishi wa Familia ya Baba wa Taifa Bw. Madaraka Nyerere amesema kuwa kuna haja ya vijana wote waliopita katika shule hiyo kuungana kwa pamoja na kuona ni jinsi gani wanaweza kuifanikisha na kuiwezesha shule hiyo katika hatua zake za maendeleo ya elimu .
Kifimbo ni zawadi kwa madaraka Nyerere toka kwa uongozi wa shule ya Ikizu A.
Mama wa Juma Makongoro akitoa yake.
Wanafunzi wa shule ya Ikizu A na madawati yao 50 waliyokabidhiwa.
Wakiimba wimbo wa shukurani hawa ni wanafunzi wa shule ya ikizu A wilayani Bunda mkoani Mara.
Ngoma ya jadi ya kabila la Waikizu.
Picha ya Pamoja part one.
Makongoro amesema kuwa lengo la msaada huo ni kutaka utumike kama wito kwa jamii yote ya Waikizu kujenga tabia ya kujiletea maendeleo wenyewe badala ya kutegemea nguvu za serikali kwani serikali nayo bado ina mzigo wa majukumu na changamoto nyingi zinazoikabili.
This is the perfect blog for anybody who wishes to find out about this topic. You realize so much its almost hard to argue with you (not that I personally would want to…HaHa). You definitely put a fresh spin on a topic that's been written about for many years. Wonderful stuff, just great!
GEORGE MASAJU ATEULIWA JAJI MKUU
-
*Na Happiness Katabazi.*
*RAIS Samia Suluhu Hassan Leo amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani George
Mcheche Masaju Kuwa Jaji Mkuu wa Tanzania.*
*Kwa Mujibu ...
TAZAMA USIKU WA BI FELISIA KYAMANI ULIVYO FANA
-
Wanafamilia na Waalikwa wakicheza kwaifuraha na shangwe kwenye siku hii
muhimu ya SendOff ya Bi Felias Kyamani .
Watu walivaa na kupendeza Ukumbi ulipambw...
VERY FANTASTIC
ReplyDeleteThis is the perfect blog for anybody who wishes
ReplyDeleteto find out about this topic. You realize so much its almost hard to argue with you (not that
I personally would want to…HaHa). You definitely put
a fresh spin on a topic that's been written about for many years. Wonderful stuff, just great!
Have a look at my blog :: magic flight launch box