ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, May 28, 2011

"TAMASHA LA TIGO PESA MWANZA WA-CHAaa!!"

Kama kawaida yake Mwana Hip hop Roma alikisanukisha ile mbayaaa kwenye tamasha la kuitambulisha huduma ya Tigo Pesa, viwanja vya Furahisha Mwanza .

Kwa utilivu macho jukwaani..

Watoto hawa wanachungulia nini?

Alaaah Kumbe Nature!!!'

Sanaa ni kazi! chekshia mlume ndago.

Dj Ally Coco toka Stone Club ndiye aliyesimamia mzigo wa burudani on the one&two ya Nature na Kr Mura.

Kr. Mura aka Jibaba Cd700 akikamua kitu cha Push Up' kwenye songi 'Kamua'.

Msanii wa Bongo Flavour Dogo Baraka akikamua.

Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Tigo, Jackson Mbando akizitanabaisha Faida za huduma ya Tigo Pesa kwa wakazi wa Mwanza waliofurika kisawasawa kwenye viwanja vya furahisha.

Huduma ya Tigo pesa katika uwanja wa Furahisha Mwanza.

Mdau Mwananchi halisi wa Mwanza akiweka pesa live kwenye simu yake mara baada ya kujisajili Tigo Pesa katika viwanja hivyo.

AAAaah! jamani kuvalishwa raha!

'Fu-ngu-a tu-o-ne yaliyomo'

Wateja waliojiunga na huduma ya Tigo Pesa katika viwanja hivyo walizawadiwa simu kila mmoja.

Mwanza! Mwanza!!

Dj Maliz ndiye aliyesimamia mzigo awamu ya kwanza.

Wadau wa Tigo Mwanza.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.